1. |
Hatukukunjulia kifua chako? |
2. |
Na tukakuondolea mzigo wako, |
3. |
Ulio vunja mgongo wako? |
4. |
Na tukakunyanyulia utajo wako? |
5. |
Basi kwa hakika pamoja na uzito upo wepesi, |
6. |
Hakika pamoja na uzito upo wepesi. |
7. |
Na ukipata faragha, fanya juhudi. |
8. |
Na Mola wako Mlezi ndio mshughulikie. |