1. |
Sema: Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko, |
2. |
Na shari ya alivyo viumba, |
3. |
Na shari ya giza la usiku liingiapo, |
4. |
Na shari ya wanao pulizia mafundoni, |
5. |
Na shari ya hasidi anapo husudu. |
1. |
Sema: Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko, |
2. |
Na shari ya alivyo viumba, |
3. |
Na shari ya giza la usiku liingiapo, |
4. |
Na shari ya wanao pulizia mafundoni, |
5. |
Na shari ya hasidi anapo husudu. |