1. |
Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia. |
2. |
Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma. |
3. |
Atauingia Moto wenye mwako. |
4. |
Na mkewe, mchukuzi wa kuni, |
5. |
Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa. |