111. Al-Masad

1.

Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.

2.

Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma.

3.

Atauingia Moto wenye mwako.

4.

Na mkewe, mchukuzi wa kuni,

5.

Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa.