1. |
Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi, |
2. |
Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi, |
3. |
Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba. |
1. |
Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi, |
2. |
Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi, |
3. |
Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba. |