1. |
Je! Umemwona anaye kadhibisha Malipo? |
2. |
Huyo ndiye anaye msukuma yatima, |
3. |
Wala hahimizi kumlisha masikini. |
4. |
Basi, ole wao wanao sali, |
5. |
Ambao wanapuuza Sala zao; |
6. |
Ambao wanajionyesha, |
7. |
Nao huku wanazuia msaada. |