1. |
Kumekushughulisheni kutafuta wingi, |
2. |
Mpaka mje makaburini! |
3. |
Sivyo hivyo! Mtakuja jua! |
4. |
4, Tena sivyo hivyo! Mtakuja jua! |
5. |
Sivyo hivyo! Lau mngeli jua kwa ujuzi wa yakini, |
6. |
Basi bila ya shaka mtaiona Jahannamu! |
7. |
Tena, bila ya shaka, mtaiona kwa jicho la yakini. |
8. |
Tena bila ya shaka mtaulizwa siku hiyo juu ya neema. |